Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Kilimo

Hon. Shally Josepha Raymond

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Kilimo

MHE. SHALLY J. RAYMOND: Mheshimiwa Spika, namshukuru Mungu kwa fursa hii na ninampongeza sana Mheshimiwa Waziri wa Kilimo, Naibu Mawaziri, Katibu Mkuu na watendani wote.

Mheshimiwa Spika, swali langu linahusu zao la kahawa Mkoa wa Kilimanjaro. Serikali ina mpango gani kushirikiana na wakulima wakubwa ili watoe msaada wa pembejeo, elimu na hata kuwatafutia soko wakulima wadogo? Naunga mkono hoja.