Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge na Utawala na Serikali za Mitaa pamoja na Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria pamoja na Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo

Hon. Dr. Augustine Philip Mahiga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Nominated

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge na Utawala na Serikali za Mitaa pamoja na Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria pamoja na Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. Nimeomba dakika moja tu kutenda haki kwa Kamati ya Sheria Ndogo ambayo tunafanya nao kazi kwa karibu sana. Hata mchana huu nimekuwa nafanya nao kazi na kesho tutaendelea, ni watu ambao wana mawazo chanya. Mwenyekiti wao Mheshimiwa Andrew Chenge ni Mwanasheria aliyebobea na kwa kweli ni mzalendo na mtu mwenye commitment. Hiyo political commitment ya kuhakiksha kwamba utaalam wake wa kisheria unatufikisha mahali pazuri hapa Bungeni. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nitoe shukrani za pekee kwa Kamati hii na kesho tutamalizia kuzungumzia suala letu. Ahsante sana Wana-Kamati wote na tuendelee na mshikamano wetu na mchango wenu ni wa chanya una kile kitu kinaitwa intellectual input. Ahsanteni sana. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, pia naomba nichukue nafasi hii kumpongeza Waziri mwenzangu aliyetoa mchango wake sasa hivi. Utawala wa sheria ni pamoja na kuwa na Serikali bora kama alivyosema au utawala bora. Hongera sana Mheshimiwa Waziri. (Makofi/Kicheko)