Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Viwanda na Biashara

Hon. Margaret Simwanza Sitta

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Urambo

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Viwanda na Biashara

MHE. MARGARET S. SITTA: Mheshimiwa Naibu Spika, Wilaya ya Urambo na Kaliua ni Wilaya zinazoongoza hapa nchini kwa kilimo cha tumbaku. Pamoja na Wilaya hizi kuongoza kwa kilimo hiki, Mkoani Tabora bado hakuna kiwanda cha kusindika tumbaku pamoja na uwepo wa miundombinu ya reli na hata barabara inayojengwa. Je, ni lini Serikali itajenga kiwanda cha kusindika tumbaku Wilayani Urambo?