Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Hon. Ally Abdulla Ally Saleh

Sex

Male

Party

CUF

Constituent

Malindi

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MHE. ALLY SALEH ALLY: Mheshimiwa Spika, nimejiwa na wazo ambalo ni kuona uwepo wa haja ya kumwenzi Dkt Salim Ahmed Salim kwa kupewa heshima ya jina la Mheshimiwa kuingia kwenye kumbukumbu ya milele nako ni kumuenzi akiwa hai na kusikia kiwa duniani kuwa Uwanja wa Ndege wa Songwe unapewa jina lake.

Mheshimiwa Spika, ikumbukwe Dkt. Salim ameshika nyadhifa nyingi ambazo ni: Balozi wa Zanzibar , Gairo; Balozi wa Tanzania, Cairo; Balozi wa Tanzania UN, New York; Katibu wa OAU; Waziri wa Nje, Ulinzi; na Waziri Mkuu, naomba hilo lizingatiwe.