Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Hon. Luhaga Joelson Mpina

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Kisesa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MHE. LUHAGA J. MPINA: Mheshimiwa Spika, nimesoma hotuba yako vizuri sana, lakini nasikitika miradi ya Jimbo na mkoa wangu hazipo. Mradi wa lami Makao Makuu ya Jimbo la kisasa (Mwandoya); kufanya upembuzi yakinifu wa mradi wa barabara ya lami kutoka Bariadi – Kisesa Mwandoya – Mwanhunzi, Bukundi (Sibiti) - Egiguno.

Mheshimiwa Spika, mradi huu ni wa kimkakati hasa baada ya ujenzi wa daraja la Sibiti kukamilika. Mradi huu utafungua uchumi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa Mara, Kagera, Mwanza, Simiyu na Shinyanga pamoja na nchi jirani za Kenya na Uganda.