Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Hon. Job Yustino Ndugai

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Kongwa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MHE. JOB Y. NDUGAI: Mheshimiwa Waziri, tunaomba sanasana tuanze kujenga kwa lami barabara ya Kongwa – Arusha kupitia Olkesmet (Simanjiro). Tuanze hata kama ni kilometa 15 tu.

Mheshimiwa Waziri, Kongwa Mjini tunahitaji lami angalau tupate hata kilometa 5 tu.

Mheshimiwa Waziri, Daraja kubwa la Njoge kwenye barabara itokayo Pandambili ni muhimu mno kujengwa. TARURA wapewe bajeti.