Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

Hon. Victor Kilasile Mwambalaswa

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Lupa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

MHE. VICTOR K. MWAMBALASWA: Mheshimiwa Naibu Spika, naunga mkono hoja. Hivi karibuni Mheshimiwa Rais alifanya ziara Mkoani Mbeya, akiwa Wilayani Chunya, aliombwa na wananchi fedha za kukarabati Hospitali ya Wilaya. Mheshimiwa Rais aliahidi shilingi 200,000,000/= kwa ukarabati huo. Naiomba Wizara ifuatilie na kutekeleza.

Mheshimiwa Naibu Spika, naunga mkono hoja.