Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Hon. Hussein Nassor Amar

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Nyang'hwale

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

MHE. HUSSEIN N. AMAR: Mheshimiwa Spika, nampongeza Mheshimiwa Waziri kwa hotuba nzuri sana. Katika hotuba nimeona kwa Wilaya ya Nyang’hwale tumejengewa nyumba za askari wetu kwa familia saba. Naomba kwenye bajeti hii tujengewe mahabusu kwani iliyopo imezidiwa, imekuwa ndogo sana sababu kuu ni kuwa na Makao Makuu ya wilaya.