Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020

Hon. Richard Mganga Ndassa

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Sumve

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020

MHE. RICHARD M. NDASSA:Mheshimiwa Naibu Spika, Mheshimiwa Waziri Mkuchika namheshimu na kumwamini sana. Hoja yangu niviporo vya TASAF II, Kata ya Bungulwa kuhusu ujenzi wa barabara ya Bungulwa Nhundya; yapo makalvati zaidi ya 50 kwa zaidi ya miaka 10 lakini hakuna kinachoendelea. Nataka majibu ni nini hatma ya kiporo hicho au ndiyo imeshindikana? Hii si mara ya kwanza kuuliza swali hili.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba majibu wakati wa kuhitimisha.