Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 - Ofisi ya Waziri Mkuu

Hon. Shally Josepha Raymond

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 - Ofisi ya Waziri Mkuu

MHE. SHALLY J. RAYMOND: Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kumpongeza Mheshimiwa Waziri Mkuu na Mawaziri wote walio kwenye ofisi yake pamoja na ya Naibu Waziri.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ombi langu; mafunzo kwa wanawake wajasiriamali. Tunashukuru kwa vitambulisho. Kipekee tunaomba wawezeshwe kielimu na hasa kwenye utunzaji wa fedha ili wakuze vicoba vyao.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja.