Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 – Wizara ya Madini

Hon. Ignas Aloyce Malocha

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Kwela

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 – Wizara ya Madini

MHE. IGNAS A. MALOCHA: Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kuchangia Wizara hii, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kujua ni lini gesi ya helium iliyogunduliwa katika Ziwa Rukwa itaanza kuchimbwa. Tunaambiwa gesi hiyo ni adimu sana duniani na ina thamani kubwa. Ni sababu zipi zinatufanya tuchelewe kuanza kuichimba?

Mheshimiwa Naibu Spika, naunga mkono hoja, ahsante.