Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 – Wizara ya Madini

Hon. Richard Mganga Ndassa

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Sumve

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 – Wizara ya Madini

MHE. RICHARD M. NDASSA: Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kutoa ushauri kwa Tume ya Madini kuhusu Maafisa wa Madini wa Mikoa au Wilaya ili kulinda heshima lakini pia mali wanazosimamia, rasilimali ya madini, nashauri, ma- RMO, wote kabla ya kupewa ajira wafanyiwe vetting, lakini waapishwe (wale kiapo cha uaminifu), wajaze fomu za maadili ili kujua mali wanazomiliki. Mheshimiwa Rais wetu amewapa heshima kubwa Tume ya Madini kwa kutambua kuwa sekta ya madini itatoa mchango mkubwa katika mfuko wa Taifa.