Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

Hon. Julius Kalanga Laizer

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Monduli

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

MHE. JULIUS K. LAIZER: Mheshimiwa Mwenyekiti, Mgogoro wa Mipaka kati ya Monduli na Arusha DC katika Kata ya Mfereji. Naomba kauli ya Wizara hii ya Ardhi, ni lini mgogoro huu ambao umekuwa ukigharimu maisha ya watu wetu kwa kuchomewa, mabomu na kujeruhiwa utatatuliwa?

Mheshimiwa Mwenyekiti, mgogoro wa Monduli na Babati utatatuliwa lini kama Waziri alivyoahidi mwaka jana?