Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Hon. Mussa Ramadhani Sima

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Singida Mjini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

MHE. MUSSA R. SIMA: Mheshimiwa Mwenyekiti, naipongeza Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa kazi kubwa ya kuendelea kulinda amani na utulivu nchini. Naomba Jeshi la Polisi liendelee kuboresha maslahi ya watumishi wake ili waweze kuitenda kazi yao kwa haki.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba askari wa barabarani (traffic) wachukue muda mwingi kufanya kazi ya kuwaelimisha wananchi badala ya kutafuta makosa na kutoza faini.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Wizara iweke mkakati wa kujenga Vituo vya Polisi kila Kata hususan Kata za Singida Mjini.