Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwakawa Fedha 2018/2018 – Wizara ya Kilimo

Hon. Joseph Leonard Haule

Sex

Male

Party

CHADEMA

Constituent

Mikumi

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwakawa Fedha 2018/2018 – Wizara ya Kilimo

MHE. JOSEPH L. HAULE: Mheshimiwa Mwenyekiti, niombe nichangie kidogo kwenye Wizara hii nyeti ya Kilimo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu mawakala wa pembejeo, Mheshimiwa Waziri Mkuu alitoa maelezo Bungeni kuwa wanafanya uhakiki wa mawakala wanaopaswa na kustahili kulipwa. Je, hili suala limefikia wapi na lini mawakala hawa wa pembejeo watalipwa stahiki zao maana wengi wamefilisika na wengi wanakufa maskini huku haki zao zikiwa mikononi kwa Serikali.