Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Hon. Martha Moses Mlata

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

MHE. MARTHA M. MLATA: Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nianze na pongezi kwa Waziri, Mkuu wa Majeshi na Wakuu wa Vitengo vyote. Kazi ni nzuri na hakika tuna amani.

Mheshimiwa Mwenyekiti, maombi, kulikuwa na mpango wa kujengwa kambi ya JKT Mkoa wa Singida, Wilaya ya Iramba Ndago, je, suala hili liliishia wapi? SUMAJKT walifanya vizuri sana kwenye suala la matrekta japo changamoto za uelewa wa waliochukua mkopo haukuwa wazi lakini kwa sasa limeshaeleweka. Hivyo, naomba warejeshe zoezi hilo la kuuza matrekta.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naunga mkono hoja.