Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019

Hon. George Boniface Simbachawene

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Kibakwe

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019

MHE. GEORGE B. SIMBACHAWENE: Mheshimiwa Naibu Spika, hongera sana kwa kazi nzuri.

Mheshimiwa Naibu Spika, katika jimbo langu miradi ya vijiji kumi kila Wilaya imekwama karibu yote. Kijiji cha Kidenge mtiririko umekwama, kila siku maelezo ni yale yale tu na Kijiji cha Makose na Njiapanda nao umekwama.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba visima katika Vijiji vya Munguwi, Chipogoro, Ilamba na Lutalawe. Naunga mkono hoja.