Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019

Hon. Eng. James Fransis Mbatia

Sex

Male

Party

NCCR-Mageuzi

Constituent

Vunjo

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019

MHE. JAMES F. MBATIA: Mheshimiwa Naibu Spika, elimu shirikishi na endelevu ni muhimu kwa wananchi juu ya namna bora ya kuvuna, kutawala na kutumia maji.

Mheshimiwa Naibu Spika, naambatisha maombi ya mahitaji ya maji katika Jimbo la Vunjo yaliyofanyiwa uchambuzi wa kitalaamu. Mahitaji haya ni vijiji vipatavyo 37.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kuwasilisha.