Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019

Hon. Cecilia Daniel Paresso

Sex

Female

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019

MHE. CECILIA D. PARESSO: Mheshimiwa Naibu Spika, mfumo wa malipo wa maji wa pre-paid ukisimamiwa vizuri utaleta tija kubwa na uendelevu wa Mamlaka na Bodi mbalimbali za Maji hapa nchini. Wilaya ya Karatu ni miongoni mwa Wilaya za kwanza kuwa na mfumo huu na mafanikio yameonekana. Je, ni kwa nini Serikali isihakikishe Mamlaka za Maji kwenye miji mikubwa zinaanzisha mifumo hii ambayo itasaidia kufanya mamlaka hizi kuwa endelevu? Nawasilisha.