Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Hon. Abdallah Ally Mtolea

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Temeke

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MHE. ABDALLAH A. MTOLEA: Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kuikumbusha Wizara hii kutenga pesa kwa ajili ya kumalizia barabara za ring roads ambazo ujenzi wake haujakamilika. Barabara ya Davis Corner – Jet Lumo inayounganisha Temeke na Jimbo la Segerea (Ilala), barabara hii haijatengewa pesa kwa mwaka wa tatu sasa. Hili sio jambo sahihi.

Mheshimiwa Naibu Spika, naiomba Wizara itenge fedha za kuimalizia barabara hii ili lengo la kupunguza kero ya foleni katika Jiji la Dar es Salaam itimie. Tafadhali naomba pesa kwa ajili ya barabara hii.