Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusu shughuli za Kamati kwa mwaka 2017 pamoja na Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kuhusu shughuli za Kamati kwa mwaka 2017.

Hon. Mahmoud Hassan Mgimwa

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Mufindi Kaskazini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusu shughuli za Kamati kwa mwaka 2017 pamoja na Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kuhusu shughuli za Kamati kwa mwaka 2017.

MHE. MAHMOUD H. MGIMWA: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza naunga mkono hoja taarifa ya kamati.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Wizara ya Maliasili na Utalii ilikuwa ndio inayochangia kwa kiasi kikubwa sana katika pato la Taifa, lakini sasa imeanza kushuka. Ni vyema tukaanza kuimarisha miundombinu ili kuboresha utalii na vile vile ni vyema tukatengeneza utaratibu wa kuimarisha utalii wa ndani.

Mheshimiwa Mwenyekiti, TANAPA kuna hifadhi 16 ni tatu tu zinazo-break ever point, Wizara itengeneze utaratibu wa kuhakikisha kila hifadhi inajiendesha hakuna sababu za msingi ambazo zipo kwa hifadhi ambazo hazijiendeshi. Nchi ya Seychelles inajiendesha kwa utaliii tu why not Tanzania?