Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusu shughuli za Kamati kwa mwaka 2017 pamoja na Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kuhusu shughuli za Kamati kwa mwaka 2017.

Hon. Eng. Stella Martin Manyanya

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Nyasa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusu shughuli za Kamati kwa mwaka 2017 pamoja na Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji kuhusu shughuli za Kamati kwa mwaka 2017.

MHE. ENG. STELLA M. MANYANYA: Mheshimiwa Mwenyekiti, naipongeza Kamati kwa kuona umuhimu wa utalii zaidi ya wanyama pori na maeneo mengine yaliyozoeleka.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Waziri Mkuu alipokuja Nyasa kwenye tamasha la utalii alielekeza Wizara ya Maliasili na Utalii kuongeza kasi ya kuhamasisha na kuwezesha utalii wa fukwe. Hivyo aliagiza iundwe mamlaka ya utalii wa fukwe. Naomba, Kamati isaidie kufuatilia kufanikisha suala hilo. Nami napenda utalii.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naunga mkono hoja.