Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Maji na Umwagiliaji

Hon. Dr. David Mathayo David

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Same Magharibi

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Maji na Umwagiliaji

MHE. DKT. DAVID M. DAVID: Mheshimiwa Naibu Spika, naunga mkono hoja. Nampongeza Mheshimiwa Waziri na Wizara yote kwa ujumla. Naomba kujua yafuatayo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, hadi mwisho wa mwaka wa fedha Mradi wa Maji Mwanga – Same utakuwa umefikia hatua gani?

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuwa hali ya maji Mji wa Same, Makanya na Hedaru ni mbaya sana, je, Serikali itachimba lini visima virefu kabla ya mradi mkubwa wa maji?

Mheshimiwa Naibu Spika, naunga mkono hoja.