Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Maji na Umwagiliaji

Hon. Fakharia Shomar Khamis

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 - Wizara ya Maji na Umwagiliaji

MHE. FAKHARIA SHOMAR KHAMIS: Mheshimiwa Naibu Spika, maji ni uhai. Tunataka kumtua mama ndoo kichwani. Naomba tozo ya mafuta ile ya sh.50/= bado ni ndogo na inahitajika kuongezwa ili tuweze kuingiza katika mfuko na maji tumsaidie kumtua mama ndoo kichwani. Ombi langu ni kwamba asilimia 70 iende vijijini na 30 iende mijini ili kumtua mama ndoo kichwani.

Mheshimiwa Naibu Spika, naunga mkono hoja.