Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.

Hon. Jenista Joackim Mhagama

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Peramiho

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.

MHE. JENISTA J. MHAGAMA: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza naunga mkono hoja. Pili, nawapongeza sana Mheshimiwa Waziri na Mheshimiwa Naibu Waziri, nazidi kuwaombea mafanikio katika utekelzaji wa majukumu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ninakumbusha Mheshimiwa Waziri Halmashauri ya Wilaya Songea imeleta muda mrefu sana maombi ya gari la chanjo. Tafadhali sana Serikali itusaidie.