Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017

Hon. Cecil David Mwambe

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ndanda

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017

MHE. CECIL D. MWAMBE: Mheshimiwa Mwenyekiti, ningependa kufahamu ni mita ngapi toka katikati ya hifadhi ya barabara mpaka kwenye barabara kuu? Je, wananchi wa Lukuledi, Naditi, Chikunja watalipwa fidia ya nyumba zao zilizowekwa alama ya “X”?