Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017

Hon. David Ernest Silinde

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Tunduma

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017

MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Mwenyekiti, katika eneo la kitongoji cha Mchangaji au kwa jina jingine Ishinizya Kijiji cha Senga, Kata ya Kamsamba Wilaya ya Momba Mkoani Songwe, kuna tatizo kubwa sana la mpaka kati ya Mkoa wa Rukwa (Wilaya ya Sumbawanga Vijijini-Kwela) na Wilaya ya Momba maana kijiji hicho cha Mchangani/Ishinizya kila upande unadai ni wake kwa sababu za mipaka. Naomba Wizara yako ikalitatue.
Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kuwasilisha.