Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi

Hon. Joseph Zacharius Kamonga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ludewa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi

MHE. JOSEPH Z. KAMONGA: Mheshimiwa Spika, naomba tu bandari ya Manda pale Ludewa ijengwe. Aidha, barabara kuanzia Mawengi hadi Manda na Mkiu – Liganga - Madaba zijengwe kwa kiwango cha lami.