Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi

Hon. Joseph Michael Mkundi

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ukerewe

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi

MHE. JOSEPH M. MKUNDI: Mheshimiwa Spika, mradi wa barabara wa Nyamuswa – Bunda - Kisorya itambulike kama Nyamuswa - Bunda - Kisorya - Nansio kama ilivyokuwa inatambulika toka awali (sehemu ya Kisorya - Nansio ikiwa (Lot No.3). Kutoitambua kwa jina hilo kunahamisha na kupotosha jina la mradi.

Mheshimiwa Spika, barabara ya Lugezi - Bukongo - Masonga (sehemu ya Bulamba - Murutunguru - Masonga kilometa 32) ijengwe kwa kiwango cha lami kuepusha gharama kubwa zinazotumika kwa matengenezo ya mara kwa mara kutokana na aina ya udongo uliopo maeneo yale.