Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 – Wizara ya Afya

Hon. Tumaini Bryceson Magessa

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Busanda

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 – Wizara ya Afya

MHE. TUMAINI B. MAGESSA: Mheshimiwa Spika, ubora wa vituo vya afya vya Chikobe na Bukoli Jimboni Busanda vinahitaji Wizara ya Afya isimamie huduma (qualify of service) na uboreshaji wa miundombinu ili wananchi wahudumiwe vyema.