Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 – Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara

Hon. Eng. Stella Martin Manyanya

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Nyasa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 – Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara

MHE. ENG. STELLA M. MANYANYA: Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba nichukue nafasi hii kumpongeza Waziri pamoja na timu yote ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara kwa jitihada kubwa ya kufanikisha shughuli za Wizara hii.

Mheshimiwa Mwenyekiti,baada ya pongezi, nina mchango mdogo; pamoja na kupanda kwa bei ya mafuta nchini, bado hali ya upandaji wa bei ya bidhaa itafutiwe tiba. Manung’uniko ni mengi.

Mheshimiwa Mwenyekiti,naomba pia niendelee kukumbusha ujenzi wa kituo cha SIDO Ruvuma, Nyasa.

Mheshimiwa Mwenyekiti,nawasilisha.