Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Hon. Athumani Almas Maige

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Tabora Kaskazini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

MHE. ATHUMAN A. MAIGE: Mheshimiwa Spika, ni lini Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi italeta Bungeni Sheria ya Sekta Binafsi ya Ulinzi? Miaka minne mimi nilileta Bungeni Muswada wa Sheria hii na Serikali iliuchukua Muswada ule kwa ahadi kuwa kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wangeleta Bungeni muswada ulioboreshwa wa sekta binafsi ya ulinzi. Leo ni mwaka wa tano na Serikali haijaleta muswada huo.

Mheshimiwa Spika, naomba Serikali itoe tamko lini muswada wa The Private Security Industry Bill Bungeni.