Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2020 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 pamoja na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022

Hon. Edwin Enosy Swalle

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Lupembe

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2020 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 pamoja na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022

MHE. EDWIN E. SWALLE: Mheshimiwa Naibu Spika, ili kufikia lengo la kutoa hamasa na elimu kwa Watanzania kulipa kodi, natoa ushauri kuwa Wizara ibuni mfumo wa mabalozi wa kulipa kodi bila shuruti.

Mheshimiwa Naibu Spika, ninaamini kuwa umma ukipata hamasa ya kulipa kodi itakuwa rahisi watu wengi kuona fahari kulipa kodi. Tunataka watu wapate hamasa ya kudai na kutoa risiti. Hii iwe ni kampeni ya nchi nzima.

Mheshimiwa Naibu Spika, mimi najitolea kuwa balozi wa kwanza. Ahsante.