Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa mwaka wa Fedha 2016/2017

Hon. Joseph Michael Mkundi

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ukerewe

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa mwaka wa Fedha 2016/2017

MHE. JOSEPH M. MKUNDI: Mheshimiwa Mwenyekiti, Ukerewe kama sehemu ya maeneo yanayozalisha samaki kwa wingi panahitajika kiwanda cha kusindika samaki. Hivyo tunaomba ushawishi wako kwa wawekezaji ili wajenge viwanda vya kusindika/kuchakata samaki Kisiwani Ukerewe kitu kitakachosaidia upatikanaji wa ajira na hivyo uwezo wa kununua kwa walaji.