Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Nishati

Hon. Suzana Chogisasi Mgonukulima

Sex

Female

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Nishati

MHE. SUZANA C. MGONUKULIMA: Mheshimiwa Spika, pamoja na umuhimu wa Mamlaka ya TPDC bado inakabiliwa na changamoto za madeni na ukusanyaji usioridhisha na wadaiwa. Kwa taarifa ambazo zinaonesha kuwa hadi kufikia Juni 30, 2018, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania hasara ya shilingi bilioni sitini na nne na milioni mia tano arobaini na tatu (64,543,000,000) limepata.

Mheshimiwa Spika, kutokana na hali hiyo shirika haliwezi kujiendesha kibiashara. Nimwombe Mheshimiwa Waziri ni wakati wa kuwa na mpango mkakati wa kuhakikisha wanalisaidia shirika hili madeni yote yanalipwa ili liweze kujiendesha kibiashara kwa manufaa ya Taifa.