Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Hon. Pauline Philipo Gekul

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Babati Mjini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MHE. PAULINE P. GEKUL: Mheshimiwa Spika, tunaomba mtujengee uwanja wa ndege Manyara Babati pale eneo la Magugu. Pia tunaomba mawasiliano ya simu Kijiji cha Himiti, Chemchem, Imbilili na Babati Mjini.

Mheshimiwa Spika, vile vile tunaomba mwalipe fidia wananchi walio pembezoni mwa barabara za lami mita 12.5 zilizoongezeka. All the best.