Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

Hon. Ally Abdulla Ally Saleh

Sex

Male

Party

CUF

Constituent

Malindi

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

MHE. ALLY SALEH ALLY: Mheshimiwa Naibu Spika, health tourism ni eneo ambalo bado halijafanyiwa kazi vyema wala halijastawishwa sana. Naamini kama tukiweka hili kimkakati, mfano Mbeya kwa Zambia na Malawi; au Kagera kwa Burundi na DR Congo itakuwa vyema. Pia lazima kama nchi tuwe na specialized areas ambazo zitavuta majirani kufuata matibabu.

Mheshimiwa Naibu Spika, tumearifiwa kuwa kuna fedha za mkopo wa riba ndugu juu ya early childhood development kiasi cha shilingi milioni 200 kwa miaka mitano na kuweza kusaidia eneo hili. Tunaambiwa the money has been waiting for us - we drag our feet and the 0-5 child is not developed.

Mheshimiwa Naibu Spika, je, Wizara imetenga partner fund ili Serikali iweze ku- access fund kwenye taasisi, mashirika ya ufadhili ambayo yana masharti hayo? Je, ni kiasi gani hicho ambacho kimetengwa?