Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Hon. Josephine Johnson Genzabuke

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

MHE. JOSEPHINE J. GENZABUKE: Mheshimiwa Spika, kwa kuanza kabisa, naunga mkono hoja hii.

Mheshimiwa Spika, katika Mkoa wa Kigoma maeneo ya Wilaya ya Kibondo, hali ya usalama bado siyo nzuri. Hakuna utulivu pamoja na Serikali imejitahidi lakini bado matukio yapo ya mara kwa mara. Naomba Serikali ituwekee Mkoa Maalum wa Kipolisi.

Mheshimiwa Spika, baada ya hayo, naunga mkono hoja.