Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020

Hon. Cosato David Chumi

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Mafinga Mjini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020

MHE. COSATO D. CHUMI: Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kuchangia kuhusu malipo ya watumishi waliorejeshwa kwenye mfumo. Kuna watumishi ambao waliondolewa kimakosa kwenye payrollna baadaye wakarejeshwa, hata hivyo, hawajalipwa malimbikizo yao. Mfano, Mafinga wapo watumishi 51 na jumla ya madai ni Sh.118,164,330na mpaka sasa hawajalipwa. Hali hii pia iko kwanchi nzima, naomba Serikali itusaidie watumishi hawa walipwe madai yao hayo.