You are using an older version of Internet Explorer.

In order to get the most out of our website, you can get a free update of Internet Explorer.
If you're using a work computer, please contact your IT administrator.

[CLOSE]
  email E-mail this to a friend email Printable version

Supplementary Question

mp Mpina, Luhaga Joelson[CCM]

Kisesa Constituency
Session No Question Number To the Ministry of Sector Date Asked
7 123 FINANCE AND ECONOMIC AFFAIRS Loans 23 April 2012
Mheshimiwa Spika, kwa kuwa ili kuongeza
tija katika kilimo na uwekezaji nchini ilikubalika kwamba benki ya TIB
itapata bilioni 5 kwa kipindi cha miaka 5 yaani 2010/2015. Na kwa
kuwa mwaka huu wa fedha ambao tunaumaliza hakuna fedha yoyote
ambayo imepelekwa katika benki hiyo.

Je, sasa Waziri ataliambia Bunge hili kuwa katika Bajeti hii
tunayoianza shilingi bilioni 125 zitapelekwa katika benki hii ili kuongeza kasi
ya uwekezaji nchini?
ANSWERS TO SUPPLEMENTARY QUESTION #  123  SESSION #  7
mp Answer From Hon.Silima, Pereira Ame
FINANCE AND ECONOMIC AFFAIRS
NAIBU WAZIRI WA FEDHA :

Mheshimiwa Spika, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Luhaga Mpina, kama
ifuatavyo:-

Najibu ndio. Tumeshaanza kutenga bilioni 100 kama ilivyo kwenye
mpango wa miaka mitano wa maendeleo na zitatolewa.