Home » Members »Supplementary Question
Supplementary Question
 |
Arfi, Said Amour[CHADEMA]
Mpanda Mjini Constituency |
|
|
|
|
|
|
| 4 |
197 |
TRANSPORT |
Transport/Road |
8 July 2011 |
Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuuliza swali la nyongeza.
Kwa kuwa, tatizo la usafiri katika Ziwa Tanganyika Serikali imekiri kupitia kauli na jibu la Mheshimiwa Naibu Waziri. Meli ya MV. Mwongozo imesimama toka mwaka 2008. Je, huku ndiko kujali matatizo ya wananchi kuchukua miaka mitatu meli haijatengenezwa?
|
| ANSWERS TO SUPPLEMENTARY QUESTION # 197
SESSION # 4 |
 |
Answer From Hon.Mfutakamba, Athuman Rashid
TRANSPORT |
|
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI:
Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kujibu swali la nyongeza la Mheshimiwa Said Amour Arfi Mbunge wa Mpanda Mjini kama majibu yangu ya nyongeza niliyoyatoa kwa maswali ya Mheshimiwa Kakosi.
Serikali inafanya upembuzi yakinifu na tumekwishapata mtaalamu wa kufanya feasibility study naomba tu awe na subira kwani hayo tutayakamilisha katika kipindi ambacho Serikali imeahidi kutatua matatizo hayo ya usafiri.
|
|
|
|