You are using an older version of Internet Explorer.

In order to get the most out of our website, you can get a free update of Internet Explorer.
If you're using a work computer, please contact your IT administrator.

[CLOSE]
  email E-mail this to a friend email Printable version

Supplementary Question

mp Mlaki, Rita Louise[CCM]

Special Seat
Session No Question Number To the Ministry of Sector Date Asked
4 184 WORKS Works 5 July 2011
Mheshimiwa Spika, asante kwa kuniona, Serikali imefikia wapi mpango wa kujenga barabara ya lami, kuelekea hifadhi ya taifa iliyopo Ruaha Iringa ambayo ni ya pili kwa ukubwa nchini?

ANSWERS TO SUPPLEMENTARY QUESTION #  184  SESSION #  4
mp Answer From Hon.Mwakyembe, Dr. Harrison George
WORKS
NAIBU WAZIRI WA UJENZI - (BARABARA NA VIWANJA VYA NDEGE):

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Ujenzi napenda kujibu swali la nyongeza la Mheshimiwa Ritta Kabati, Mbunge Viti Maalum kama ifuatavyo.

Mheshimiwa Spika, kwa sababu suala la ujenzi wa barabara kutoka Iringa kwenda mbuga au hifadhi ya taifa ya Ruaha, ni suala ambalo tumeliangalia kwa kina kama Wizara ningemuomba Mheshimiwa Mbunge alilete kama suala mahususi ili tuweze kumjibu kinaganaga na wananchi waweze kufaidika kwa majibu yetu.