Contributions
 |
Mwakyembe, Dr. Harrison George[CCM]
Kyela Constituency |
|
| Session No |
Seating No |
Contribution Date |
Contribution To |
| 4 |
17 |
1 July 2011 |
Makadirio ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka 2011/2012 - Ofisi ya Waziri Mkuu na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa |
NAIBU WAZIRI WA UJENZI:
Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nimjibu Mheshimiwa Mbunge kwamba, chini ya Sheria yetu ya Bunge ya mwaka 2007, mtu yeyote ambaye barabara inamfuata anastahili kulipwa fidia, lakini yule mtu ambaye amejenga ndani ya hifadhi ya barabara, huyo hastahili kulipwa fidia. Kwa hiyo, ningemwomba Mheshimiwa Mbunge ajue, kama kuna mtu yeyote ambaye amefuatwa na barabara, anastahili kulipwa fidia.
|
|
|
| |