Parliament of Tanzania

News & Events

16th Aug 2023

Kamati za Kudumu za Buge zimeanza kukutana Jijini Dodoma kabla ya Mkutano wa Kumi na Mbili wa Bunge unaotarajiwa kuanza tarehe 29 Agosti, 2023.

01st Aug 2023

Watumishi wa Bunge wamewasili Mkoa wa Lindi tarehe 31 Julai na kupokelewa na ofisi ya RAS Mkoani humo, kwaajili ya kutoa elimu kwa umma kuhusu Masuala ya Bunge kwa shule za Msingi na Sekondari.

19th Jul 2023

Umoja wa Afrika umeridhia kumuunga mkono Spika wa Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (Mb) kuwa Mgombea pekee kutoka Bara la Afrika wa nafasi ya Urais wa Jumuiya ya Mabunge Duniani

10th Jul 2023

Wajumbe wa Jukwaa la Kibunge la Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-PF) kwa pamoja wamekubaliana kumuunga Mkono Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, katika azma yake ya Kugombea nafasi ya Urais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).

04th Jul 2023

Bunge la Tanzania limewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Maazimio ya Mkutano wa 52 wa Jukwaa la Kibunge la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-PF) wakati wa Mkutano wa 53 unaoendelea Jijini Arusha.

Hon. Dr. Tulia Ackson

Speaker

Legislative Role

Profile

Ask the Speaker / Comments

Ms. Nenelwa J. Mwihambi

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Clerk / Comments

View All MP's