United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
26th May 2021
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi (Mb) akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022
24th May 2021
Waziri wa Kilimo, Mhe. Prof. Adolf Faustine Mkenda (Mb.) akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2021/2022.
22nd May 2021
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo (Mb), akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2021/2022
22nd May 2021
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Dkt. Faustine Engelbert Ndugulile (Mb). akisoma Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha kwa mwaka 2021/2022