United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
17th Aug 2021
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waheshimiwa Wabunge wakati wa semina kuhusu Uviko-19 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Mbunge wa Maswa Mashariki, Stanslaus Nyongo
28th Jul 2021
Katibu wa Bunge, Nenelwa Mwihambi, ndc akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Wakurugenzi na Wakurugenzi Wasaidizi wa Ofisi ya Bunge yanayotolewa na Taasisi ya Uongozi, Mafunzo hayo yanafanyika katika Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar, kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi, Kadari Singo
26th Jul 2021
Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi ambaye pia ni Katibu wa Bunge akiongoza Kikao cha Baraza hilo katika Ofisi Ndogo za Bunge Zanzibar.
Hon. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi
Kilosa (CCM)