United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
18th Mar 2022
Meneja wa Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA) Mkoa wa Kilimanjaro, Nicholas Francis akitoa maelezo kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuhusiana na Barabara ya St.Dorcus iliyopo Wilayani Hai wakati Kamati hiyo ilipofanya ziara kukagua barabara hiyo
17th Mar 2022
Mkuu wa Idara ya Mitambo katika Chuo Kikuu cha Arusha, Dkt. Daniel Ngoma akitoa maelezo kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) katika Karakana ya Chuo hicho, Kamati hiyo ilitembelea Chuo hicho na kukagua miradi mbalimbali ikiwemo mradi wa ujenzi wa maabara, bweni na madarasa
15th Mar 2022
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) katika ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa
14th Mar 2022
Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Mwigulu Nchemba akiwasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa kwa mwaka 2022/23 mbele ya Waheshimiwa Wabunge katika Ukumbi wa Pius Msekwa Jijini Dodoma
11th Feb 2022
Mbunge wa Ilala, Mhe. Mussa Azan Zungu akiapa mara baada ya kuwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania