Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwasili katika Uwanja wa kimataifa wa Narita Mjini Tokyo kwa ziara ya siku 6 ya Mwaliko wa Kikazi kutoka Bunge la japani. Kulia kwake ni balozi wa Tanzania Nchini Tanzania Mhe. Salome Sijaona. Mhe. Spika katika ziara hiyo ameongozana na Ujumbe wa Wabunge 5 kutoka Bunge la Tanzania