ASK THE SPEAKER
GIF

Hon.Samuel Sitta(MP)
Online interactive forum with the SPEAKER
QUOTES FROM THE SPEAKER
" One of the core duties of the Legislature is to oversee the functions of the Government in power and advise it appropriately whenever any pertinent issue of national interest arises. "
5th March 2009 - Dar es Salaam.
INVITATION FOR TENDERS
Tender for the Financial year 2010/2011
Read more
RESOURCES LINKS

Parliamentary Resources
National Website
Prime Minister's Office website
National Electoral Commission website
Africa4All project

WEBMAIL LOGIN


NEWSLETTER
Subscribe to our e-newsletter and be the first to know about new activities, events and resources.
Your email
GLOSSARY
Act
is a Bill approved by the House and formally agreed to by the President Assent. Once implemented, an Act is law and applies to country. Act of Parliament creates a new law or changes an existing law.
Government
is the institution that runs the country. It is also known as the Executive. The Government formulates policy and introduces legislation in Parliament.
Read more
VISITORS TO THIS SITE
There have been 30501973 visitors to this websiteThere have been 30501973 visitors to this websiteThere have been 30501973 visitors to this websiteThere have been 30501973 visitors to this websiteThere have been 30501973 visitors to this websiteThere have been 30501973 visitors to this websiteThere have been 30501973 visitors to this websiteThere have been 30501973 visitors to this website
User online : 13
Home »Principal questions
Principal question
  email E-mail this to a friend email Printable version
Honourable Ernest Gakeya Mabina  [CCM]
Geita Constituency
Session No Principal Question No To the Ministry of Sector Date Asked
9 103 REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT Local Government 8 November 2007
Kwa kuwa, Wilaya ya Geita kwa sasa inakadiriwa kuwa na jumla ya watu 810, 548 kati yao wanaume wakiwa 404, 735 na wanawake 405,813 ambao ni ongezeko la asilimia 3.4 na kwa kuwa idadi hiyo kubwa ya watu inahudumiwa na hospitali moja ya Wilaya, vituo vinane (8) vya Afya, Zahanati 44 na ina gari moja tu la kubeba wagonjwa ambalo ni bovu:-

(a) Je, Serikali inaona huo ni uwiano mzuri wa kutoa huduma za afya kwa wananchi wa Geita?

(b) Je, ni lini Serikali italeta magari ya kubeba wagonjwa kulingana na hali halisi ya Wilaya ya Geita?

ANSWERS TO PRINCIPAL QUESTION #103 SESSION # 9
Answer From Hon. Kombani, Celina Ompeshi
REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
NAIBU WAZIRI, alijibu:-

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Ernest Mabina, Mbunge wa Geita, lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:-

(a) Mheshimiwa Spika, Serikali inatambua hali halisi ya huduma za afya zinazotolewa kwa wananchi wa Wilaya ya Geita kuwa si za kuridhisha. Kulingana na idadi ya watu waliopo Wilayani Geita ambayo inakadiriwa kuwa ni watu 810,543 Wilaya inatakiwa kuwa na Hospitali tatu, vituo vya afya 16 na zahanati 81. Kwa sasa Wilaya ina Hospitali moja, vituo vya afya vinane na zahanati 51.

Mheshimiwa Spika, Serikali kwa kuona upungufu huu imeanzisha mikakati ya makusudi ya kuboresha huduma za afya kwa wakazi wa Wilaya ya Geita. Miongoni mwa mikakati hiyo ni pamoja na kupandisha hadhi vituo vya Afya viwili kuwa Hospitali. Vituo hivyo ni pamoja na kituo cha Afya cha Karumwa katika Tarafa ya Msalala ambapo tayari huduma za upasuaji zimeanza kutolewa. Pia kituo cha afya cha Katoro katika tarafa ya Butundwe ambapo kiko kwenye mkakati wa kupandishwa hadhi kuwa hospitali.

Mheshimiwa Spika, Serikali pia kupitia mpango wa TASAF II imeanza kujenga zahanati 6 katika vijiji vya Lyulu, Kitongo, Ndelema, Buyagi, Msasa pamoja na Ibondo. Ujenzi wa zahanati hizi unatarajiwa kukamilika mwezi Disemba, 2007.

(b) Mheshimiwa Spika, Halmashauri ya Wilaya ya Geita inalo gari moja la kubebea wagonjwa ambalo lilikuwa bovu. Ubovu wa gari hilo ulitokana na ukosefu wa vipuri hapa nchini, vipuri hivyo vinapatikana nchini Korea Kusini, ambako gari hili lilitengenezwa.

Napenda kumfahamisha Mheshimiwa Mbunge kwamba vipuri vimeagizwa nchini Korea Kusini na vimekwisha patikana na gari hilo liko kwenye matengenezo Jijini Mwanza.

Mheshimiwa Spika, kama nilivyojibu swali Bungeni namba 185 la Mheshimiwa Msalika, Mbunge wa Nyanghwale, kwenye Mkutano wa nane wa Bunge lako Tukufu tarehe 9 Julai, 2007, nilieleza juhudi za serikali za kuboresha huduma za afya Wilayani Geita, ni pamoja na suala la ununuzi wa magari mawili ya kubebea wagonjwa. Halmashauri ya Wilaya ya Geita katika Bajeti yake ya mwaka huu 2007/2008 imetenga fedha kwaajili ya kununua gari moja la wagonjwa litakalotumika katika kituo cha afya cha Karumwa.

Aidha kupitia maombi maalum yaliyowasilishwa Hazina, Halmashauri iliidhinisha Bajeti ya kununua gari lingine, hadi sasa hatua za manunuzi zimeshafanyika na magari yote mawili yameshalipwa fedha kiasi cha shilingi milioni 150 kwa kampuni ya Toyota Tanzania Ltd.
Records 1 to 1 of 23
 
Next Last
WHO IS WHO
Hon.Slaa, Dr. Wilbrod Peter
bunge
Karatu Constituency
Questions(22)
Supplementary Questions(103)
Contributions(159)
More Members »


POLIS DATABASE
polis
BUDGET 2010/11
Estimate of Public Expenditure Development votes and supply vote
SEARCH FOR MP
Region
Constituent
 
VIDEO /AUDIO CLIP
More Videos
PHOTO GALLERY
The Speaker of the National Assembly, Hon Samuel Sitta leading the President Jakaya Kikwete to the Chamber (August House) on 21.8.2008 to address the Parliament.
More photos
CALENDAR OF EVENTS
 <<  < Sep 2010 >   >>
SMTWThFS
1234
567
8
91011
12131415161718
19202122232425
2627282930

More events

Copyright © 2003-2008 Tanzania Parliament. All rights reserved.
Designed and published by DataVision International (T) Ltd
Terms of Use | Disclaimer